- 398 viewsMvua kubwa inayonyesha kwa siku tatu mfululizo, baada ya kuzimika kwa moto mkali uliosababisha maafa makubwa kaskazini mwa Ugiriki, imevigeuza vijiji kadha kuwa ziwa katika nyanda ya Thessaly. Maafisa wametuma wapiga mbizi na wataalmu wa kuwaokoa watu ndani ya maji wakati wakazi wa maeneo yaliyoathirika vibaya kupanda juu ya mapaa ya nyumba zao kupata hifadhi. Maji ya mafuriko yanaripotiwa kupandana hadi futi mbili katika baadhi ya maeneo. Idara ya zima moto inasema imewaokoa karibu watu 820 tangu siku ya Jumanne. Waziri Mkuu Kyriakos Mitsotakis ameahirisha kutoa hotuba ya kila mwaka juu ya hali ya uchumi iliyopangwa mwishoni mwa wiki hii na badala yake atatembelea maeneo yaliyohabiriwa na mvua akisema nchi inakabiliwa na siku tatu za hali ya maajabu ambayo ahijawahi kusuhudiwa. Mafuriko kutokana na dhoruba Daniel yameathiri nchi jirani za Bulgaria na uturuki na karibu watu 15 wamefariki katika nchi hizo tatu. Habari hii inatokana na vyanzo mbalimbali vya habari #mvua #mafuriko #ugiriki #janga #moto #maafa #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Vijiji kadhaa vyafunikwa na maji Ugiriki baada ya kumalizika kwa janga la moto liliosababisha maafa
- 4 Jul 2025 - US President Donald Trump boasted of a "phenomenal victory" to cheering supporters at a rally in Iowa on Thursday after Congress narrowly passed his signature tax and spending bill, cementing his radical second-term agenda.
- 4 Jul 2025 - US President Donald Trump on Thursday said national parks would hike entry fees for foreign tourists to "improve affordability" for Americans, as he launched the country's year-long 250th birthday celebrations.
- 4 Jul 2025 - Drama unfolded at a hotel in Kericho town on Thursday night after a police officer went berserk and hurled a teargas canister into the premises, causing panic among customers and staff.
- 4 Jul 2025 - German car exports to the United States fell sharply in April and May as import tariffs imposed by President Donald Trump hit German automakers' sales in their most important foreign market, the VDA industry association said on Thursday.
- 4 Jul 2025 - At least six people were dead and dozens unaccounted for Thursday after a ferry sank in rough seas on its way to the Indonesian resort island Bali, according to rescue authorities who said 29 survivors had been plucked from the water so far.
- - Couple arrested after abandoning one-month-old baby in Rongo
- 4 Jul 2025 - The European Union on Thursday strongly condemned "acts of hatred and violence" in Serbia and called for calm days after a massive protest ended in clashes between police and demonstrators.
- 4 Jul 2025 - Women entrepreneurs and industry leaders must navigate systemic barriers beyond financial constraints: access to markets, mentorship, policy implementation, and the deep-rooted cultural biases that still dictate who gets a seat at the table.
- 4 Jul 2025 - Why IMF is demanding corruption audit on Kenya
- 4 Jul 2025 - Ndiangui Kinyagia who went missing on June 21 is a shaken man after he resurfaced in court on Thursday.