- 76 viewsDuration: 1:53Vikundi mbalimbali kutoka kaunti ya Kericho vilijitokeza kwa wingi eneo la Bureti kuadhimisha siku ya wanawake duniani . Kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika shule ya St. Kizitos Litein , naibu kamishna wa Bureti alisema anashirikiana na machifu na polisi ili kukomesha dhulma za kijinsia kwa wanawake nyumbani.