Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa dini wakashifu machafuko kanisa la Witima, askofu aomba uchunguzi

  • | Citizen TV
    804 views
    Duration: 2:41
    Viongozi wa dini wanaendelea kukashifu vikali machafuko yaliyoshuhudiwa katika kanisa la Witima kaunti ya Nyeri ambapo makumi ya watu wanadaiwa kujeruhiwa. Askofu mkuu Jackson Ole Sapit amezitaka asasi za usalama kuchunguza utumizi wa gesi ya kutoa machozi kanisani wakati wa vurugu hizo. Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen ametoa onyo kwa wanasiasa dhidi ya kuzua ghasia.