Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Dini Waongoza Maombi Kufuatia Ajali Nyahururu

  • | Citizen TV
    65 views
    Viongozi wa dini kutoka mji wa Nyahururu katika Kaunti ya Laikipia wamefanya maombi ya pamoja ya madhehebu mbalimbali kando ya barabara kuu mjini humo na maeneo jirani, kutokana na ongezeko la ajali .