- 292 viewsDuration: 1:00Baraza kuu la waislamu nchini tawi la Garissa linataka serikali kuongeza jitihada zake dhidi ya matumizi ya mihadarati miongoni mwa vijana katika kaunti hiyo. Kupitia kwa mwenyekiti wake Sheikh Hassan Abdi, baraza hilo linasema upatikanaji kwa urahisi wa dawa za kulevya umechangia pakubwa kudorora kwa hali ya usalama.