Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Jubilee wamsuta rais kwa kutusi upinzani

  • | Citizen TV
    3,506 views
    Duration: 2:06
    Viongozi wa chama cha Jubilee wamemsuta Rais William Ruto kwa matamshi yake makali dhidi ya wapinzani wake. Wakizungumza kule Nyansiongo walipokutana na wanachama wao, viongozi hao akiwemo katibu mkuu wa chama hicho Moitalel Ole Kenta wamesema matamshi hayo hayaambatani na haiba ya ofisi ya Rais, huku wakimshauri Rais Ruto kuwa mtulivu na mfano bora kwa Wakenya