Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa makanisa waendelea kuonya wanasiasa

  • | Citizen TV
    169 views
    Viongozi wa makanisa wameendelea kuwaonya wanasiasa kukoma kuendeleza siasa za matusi na kudhalilishana kama ilivyoshuhudiwa siku chache zilizopita. Viongozi hawa wakijumuishwa askofu wa kanisa katoliki jimbo la Nyeri Anthony Muheria na mwenzake wa Nairobi Phillip Anyolo wamesema, siasa hizi zinahatarisha taifa.