- 177 views
Muungano wa Azimio umeelezea masikitiko yake kuhusu kudorora kwa uchumi, sekta ya elimu, ongezeko la ushuru,na kulemaa kwa vita dhidi ya ufisadi. Muungano huo ambao ulijitokeza kwa mara ya kwanza ukiwa na vinara wote kwa pamoja ,umekanusha madai ya kusambaritika ,na sasa unashikilia kuwa unatafuta mbinu mpya ya kushinikiza serikali ya kenya kusikiza kilio cha wakenya. Azimio aidha imeonya taifa la marekani dhidi ya kuingilia masuala ya taifa hasa kuhusiana na kesi ya haiti. Vyama tanzu vya muungano vimetakiwa vianzishe mikakati ya kujizolea umaarufu ili kuupa muungano nguvu.
Viongozi wa muungano wa Azimio wakutana kwa mara ya kwanza
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2025 - Former Nairobi Provincial Police Officer (PPO) Anthony Kibuchi has passed away.
- 16 May 2025 - Malian armed forces arrested and killed around two dozen Fulani civilians who were rounded up at a livestock market in a central region of the West African country, a local activist told Reuters.
- 16 May 2025 - Ukraine and Russia on Thursday or Friday are due to hold their first direct peace talks in more than three years.
- 16 May 2025 - Ukrainian President Volodymyr Zelensky said he had sent a team to Istanbul for the first direct peace talks with Russia in three years, but played down expectations of a breakthrough, saying Moscow was "not serious" about ending the war.
- 16 May 2025 - US President Donald Trump said Thursday a deal was close on Iran's nuclear programme that would avert military action, sending oil prices tumbling, as he boasted of raising "trillions of dollars" on a Gulf tour.
- 16 May 2025 - Trump claims that the jet will be displayed at his library, critics argue that this would violate the domestic emoluments clause.
- 16 May 2025 - Redundant staff are to be formally relieved of their duties after the lapse of a 30-day notice.
- 16 May 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has called on African diplomats to advance key reforms within the African Union (AU) and push for a transformation of the global financial system to better serve developing nations.
- 16 May 2025 - Social media and AI tools are reshaping hospitality industry
- 16 May 2025 - Duale seeks additional Sh22 billion for health sector