- 385 viewsDuration: 1:18Baadhi ya Viongozi wa mrengo wa Kenya Kwanza wakiongozwa na Mbunge wa Endebess, Dkt. Robert Pukose, wamedokeza kuwa wako tayari kuweka kando tofauti zao za kisiasa na kushirikiana na Gavana wa kaunti hiyo, George Natembeya, ili kuhakikisha utekelezaji wa miradi mikuu ya maendeleo kwa manufaa ya wananchi.