Viongozi wa upinzani waitaka serikali kudumisha amani nchini

  • | Citizen TV
    120 views

    Baadhi ya viongozi wa upinzani na wakaazi wa Kajiado wametoa wito kwa serikali kuhakikisha kuwa kuna uongozi bora, unaozingatia uwajibikaji, usawa, na maslahi ya wananchi