- 20 views
kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa, kimani Ichung’wah, amejikuta tena akikosolewa na baadhi ya viongozi wa kaunti ya kiambu kufuatia kauli zake za hivi karibuni. Ichung’wah alidai kuwa wabunge kutoka kiambu walishauriwa wakati wa mchakato wa kuteua waziri mpya wa kaunti hiyo.Wa kwanza kumkosoa alikuwa seneta wa kiambu, karungo thang’wa, ambaye alitumia mitandao ya kijamii kukanusha madai hayo. Thang’wa aliongeza kuwa madai ya ichung’wah yalipotosha, na akaeleza kuwa hata kama angepewa nafasi, asingempendekeza waziri wa kilimo wa sasa kwani hamfahamu vyema. Viongozi wengine waliunga mkono ukosoaji huo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Viongozi wakanusha madai ya mashauriano
- 8 Jul 2025 - President William Ruto has expressed Kenya's commitment to combat the escalating global climate crisis.
- 8 Jul 2025 - Seven suspects accused of leading the arson attack on Mawego Police Station in Homa Bay County during protests over the death of blogger Albert Ojwang have been arraigned before the Oyugis Law Courts.
- 8 Jul 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has approved terrorism charges against 37 individuals arraigned at the Kahawa Law Courts, including Peter Kinyanjui Wanjiru, alias Kawanjiru, and Serah Wanjiku Thiga.
- 8 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has said the government is enhancing partnerships with global technology companies to create more job opportunities for the youth.
- 8 Jul 2025 - The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
- 8 Jul 2025 - Nairobi Environment Chief Officer Geoffrey Mosiria has strongly refuted claims that he is merely a content creator chasing
- 8 Jul 2025 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has requested the court to grant them more days to complete the
- 8 Jul 2025 - 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
- 8 Jul 2025 - Nominated Senator Karen Nyamu strongly condemned the impeachment motion brought before the Senate against Isiolo Governor Abdi Ibrahim
- 8 Jul 2025 - The European nation announced plans to increase its diplomatic presence abroad to four more countries in 2023.