- 404 views
Visa vya wizi wa dawa na vifaa vya matibabu kutoka vituo vya afya vya umma kaunti ya Taita Taveta vimeendelea kushuhudiwa. Jambo ambalo limeendelea kulemaza shughuli za afya katika kaunti hiyo. Kisa cha hivi punde kikiripotiwa Taveta ambapo dawa na vifaa vya matibabu vya takriban shilingi laki moja vilinaswa ndani ya nyumba ya mhudumu mmoja wa afya kutoka hospitali ya umma ya Taveta .
Visa vya wizi wa dawa na vifaa vya matibabu vyakithiri katika hospitali za umma
- - Duniani Leo ››
- 21 May 2024 - Operators of small boats and crafts in Kenya’s Coastal region have been urged to keep off deep-sea areas.
- 21 May 2024 - Suba North Member of Parliament Millie Odhiambo has expressed concern over increased cases of hippo attacks and killings in several beaches within Homa Bay County.
- 21 May 2024 - Tanzania's weather authorities warn of strong winds, waves in Indian Ocean
- 21 May 2024 - 409 migrants rescued off Libyan coast in past week
- 21 May 2024 - The advisory issued by Kenya Met covers the next seven days.
- 21 May 2024 - Julian Assange wins High Court victory in case against extradition to U.S
- 21 May 2024 - The utility company said the interruptions will be effected between 9am and 5pm.
- 21 May 2024 - The stabbed man died of bleeding moments later, police said.
- 21 May 2024 - Iran to hold presidential election on June 28
- 21 May 2024 - Mideast countries offer condolences over deaths of Iranian president, FM