Skip to main content
Skip to main content

Vita dhidi ya dawa za kulevvya

  • | Citizen TV
    119 views
    Duration: 43s
    Mamlaka ya Kitaifa ya Kudhibiti Matumizi ya Pombe na Dawa za Kulevya (NACADA) imewataka viongozi wa kidini kushiriki kikamilifu katika kukabiliana na ongezeko la visa vya ulevi na matumizi ya dawa za kulevya katika Kaunti ya Nandi.