Vita vya maneno viazuka kati ya Baraza na Khalwale

  • | KBC Video
    51 views

    Vita vya maneno vilizuka wakati wa ibada ya mazishi katika eneo la Lubao kaunti ya kakamega ambapo gavana wa kaunti ya Kakamega Fernandes Barasa na seneta wa kaunti hiyo Boni Khalwale walishambuliana vikali kuhusiana na usimamizi wa kaunti hiyo. Haya yanajiri huku mzozo ukinukia katika kaunti ya Trans Nzoia ambapo gavana wa kaunti hiyo George Natembeya analaumiwa kwa kuhujumu juhudi za wanachama wa bunge la kaunti hiyo za kutekeleza shughuli mbalimbali. Kwa hizo na habari nyingine ni katika mkusanyiko ufuatao wa habari za siasa.

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive