27 Apr 2026 7:29 pm | Citizen TV 4,176 views Duration: 44s Waandamanaji 31 waliokamatwa kufuatia maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta Aprili 21 Machakos wameachiliwa kwa dhamana ya sh elfu kumi au elfu tatu pesa taslimu.