- 422 viewsRaia wa Cameroon watapiga kura mwaka ujao kumchagua rais kwa muhula mwingine wa miaka saba. Chaguzi za awali katika taifa hili la Afrika ya Kati zilikumbwa na taarifa potofu ambazo zilichochea machafuko kwenye mitandao ya kijamii. Sasa, waandishi wa habari na wataalamu wa vyombo vya habari wanasema wanachukua hatua za mapema ili kuzuia kurudiwa kwa masuala haya. Amboh Vanessalizzy, mtayarishaji wa Maudhui huko Buea, alikuwa akipitia mitandao ya kijamii wakati habari zilipoibuka kuwa rais wa Cameroon, Paul Biya, amefariki. Bila njia yoyote ya uthibitisho, alisubiri mawasiliano rasmi hadi serikali ilipotoa taarifa ya kukanusha uvumi wa kifo cha Rais kama ndoto tu Amboh Vanessalizzy, Mtengenezaji Maudhui asema:Kwa kadiri tunavyotaka mabadiliko, simuombei kifo mtu yeyote. Taarifa potofu kama zile zinazomhusu rais zinaweza kuwa za mara kwa mara, hasa wakati wananchi wa Cameroon wakielekea kwenye uchaguzi mwaka ujao. Batata Boris-Kaloff]], Meneja wa Kituo cha CBS Buea aeleza: "Tayari ninajitayarisha kukabiliana na taarifa potofu za uchaguzi ambazo zinaweza kuja. Uwe na uhakika, huko Buea, kuna wanasiasa na kutakuwa na mijadala kuhusu miradi hapa na pale." Ripoti ya Njodzeka Danhatu wa VOA. #cameroon #waandishi #habaripotofu #chaguzi #ghasia #voaswahili
Waandishi wanamatumaini ya kukabiliana na habari potofu
- 17 Jun 2025 - Isiolo’s County Assembly Clerk, Salad Boru Guracha has cancelled a planned public participation sessions to debate the impeachment of Governor Abdi Guyo.
- 17 Jun 2025 - President William Ruto has signed the Anti-Money Laundering and Combating of Terrorism Financing Laws (Amendment) Bill, 2025 into law.
- 17 Jun 2025 - The Higher Education Loans Board (HELB) has announced that over Ksh.40 billion is still outstanding from loan defaulters who borrowed from last year to as far back as over two decades ago.
- 17 Jun 2025 - A federal judge said on Monday that she would issue a brief extension of an order temporarily blocking President Donald Trump's plan to bar foreign nationals from entering the U.S. to study at Harvard University while she decides whether to issue a…
- 17 Jun 2025 - The victim, identified by locals as Moureen, was found lying in a pool of blood with her throat slit, prompting widespread shock and outrage in the quiet village.
- 17 Jun 2025 - The situation at CBD remains tense.
- 17 Jun 2025 - The teachers claim that a recent decision by the court might cripple the education sector.
- 17 Jun 2025 - Kenya was recently blacklisted by the EU on money laundering.
- 17 Jun 2025 - Government officers serving in Marsabit County have been warned against abetting smuggling on the Ethiopia-Kenya border. Marsabit County Commissioner James Kamau expressed concern over increased cases of illegal activities concerning illicit drugs,…
- 17 Jun 2025 - The protesters aim to spotlight ongoing injustice concerning extrajudicial killings in Kenya.