- 135 views
Waathiriwa wa mafuriko katika kaunti ya Tana River sasa wanataka serikali ya kaunti hiyo kuharakisha mpango wa kuwapa vifaa vya kujenga makazi mapya wakisema wanapitia changamoto nyingi za kimaisha. serikali ya kaunti hiyo inanuia kuwahamisha wenyeji wa vijiji vya Mororo, Ziwani na Bakuyu kutoka eneo lililofurika na kuwapa makao ya kudumu na salama katika sehemu iliyotengwa. Waathiriwa hao ambao wamehamia sehemu hiyo wanalalamika kukosa huduma na bidhaa muhimu kutoka kwa serikali na kutaka idara husika kuharakisha utoaji wa huduma hizo.
Waathiriwa wa mafuriko Tana River wanateta
- 3 Jul 2025 - Coffee farmers from 76 factories in Kirinyaga County held protests in Kerugoya town after the High Court extended a conservatory order halting the implementation of new coffee exchange fees.
- 3 Jul 2025 - Thousands of youths on Thursday stormed and torched the Mawego Police post in Rachuonyo East, Homa Bay County, while carrying the coffin of the late blogger Albert Ojwang' who is set to be buried tomorrow.
- 3 Jul 2025 - Gem MP Elisha Odhiambo has announced plans to take legal action against former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i over alleged extrajudicial killings during the Jubilee administration.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday witnessed the signing of Memorandum of Understandings (MoUs) with learning institutions in the United Kingdom.
- 3 Jul 2025 - The principals did not have the required details.
- 3 Jul 2025 - The closure will last for hours.
- 3 Jul 2025 - The substantial prize money underscores commitment to supporting athletes.
- 3 Jul 2025 - Mourners carrying Mr Ojwang’s body veered off the planned route of the funeral procession and stormed the police station.
- 3 Jul 2025 - On July 7, 2025, Kenya will commemorate Saba Saba Day, a significant date in the nation's history.
- 3 Jul 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged Kenyan leaders to uphold respectful and dignified politics, while condemning the opposition for allegedly promoting arrogance, insults, contempt, greed, and tribalism. Speaking in Taveta during a women…