Wabunge 10 Wanawake kutoka Mlima Kenya wahofia kuchipuka tena kwa kundi la Mungiki
Zaidi ya wabunge 10 wanawake kutoka eneo la mlima kenya wamejitokeza kutoa lalama zao kuhusu hali ambapo wanahofia huenda kundi haramu la mungiki lililoongozwa na aliyekuwa kiongozi wake maina njenga limeanza kufufuliwa katika eneo hilo ambapo vijana wanadaiwa kusajiliwa kwenye kundi hilo lililosababisha maafa ya mamia ya wakenya na kupotea kwa mali miaka ya hapo awali
Wabunge hao wakiongozwa na mbunge mwakilishi wa wanawake katika kaunti ya nyandarua faith wairimu, waliambia wanahabari katika majengo ya bunge la taifa kwamba wana hofu kubwa kufuatia mienendo inayoanza kushuhudiwa katika eneo hilo ambapo wakazi wanatishiwa na hata kushambuliwa huku vjana wao wakishawishiwa kujiunga na genge hilo
4 Aug 2025
- The warning comes amid complaints from Kenyans.
4 Aug 2025
- Harambee Stars secured their first-ever victory at CHAN on Sunday.
4 Aug 2025
- The pair was charged a day after their arrest.
5 Aug 2025
- Can the President's wife sue him?
5 Aug 2025
- Enquiries revealed that two plots were used as collateral to acquire a loan on which the borrowers defaulted.
5 Aug 2025
- Education Cabinet Secretary Julius Ogamba finds himself increasingly sidelined by his own Principal Secretaries.
5 Aug 2025
- Can the President's wife sue him? The limits of immunity in Kenya's Constitution
5 Aug 2025
- Kenyan athletes focused on Tokyo Worlds despite Chan fever
5 Aug 2025
- Why US ballooning public debt is a key concern for Kenya
5 Aug 2025
- Nairobi Expressway contractor to shoulder Sh6.9b tax bill
5 Aug 2025
- Court spells the end of Isiolo's 60-year-old bar, a relic of 'choma'
5 Aug 2025
- Kebs deal with Japanese firm for car inspections under scrutiny
5 Aug 2025
- Why civil society wants Hustler Fund scrapped