Skip to main content
Skip to main content

Wabunge wa magharibi wampigia debe Oparanya kuwa naibu rais 2027

  • | Citizen TV
    572 views
    Duration: 1:50
    Baadhi ya wabunge wa eneo la Magharibi sasa wanampigia debe waziri wa vyama vya ushirika Wycliffe Oparanya kuwa naibu rais wa William Ruto katika uchaguzi wa mwaka 2027.