- 1,060 viewsDuration: 2:45Wabunge wanaounga mkono serikali kutoka kaunti ya Nairobi wameunga mkono mkataba uliotiwa saini kati ya serikali kuu na serikali ya kaunti ya Nairobi. Wabunge hao wanasema kuwa mkataba huo utaboresha huduma kwa wakaazi wa nairobi kupitia nyongeza ya shilingi bilioni 80 katika utoaji huduma Nairobi