Skip to main content
Skip to main content

Wadau husika wasifia mikakati iliyowekwa kulainisha sekta ya uchimbaji madini

  • | KBC Video
    85 views
    Duration: 1:01
    Wakazi wanaoishi katika mipaka tete kati ya West Pokot na Turkana katika ukanda wa Turkwel, Kaunti ya Pokot magharibi , wameipongeza serikali kwa kukomesha uchimbaji madini haramu katika eneo hilo. Mwenyekiti wa chama cha wachimbaji Madini wadogo nchini Kenya, Oketch Salah, alisema wanashirikiana na serikali kulainisha sekta hiyo ili kuhakikisha kuwa wahusika wote wanatekeleza majukumu yao kulingana na sheria. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive