18 Feb 2026 1:28 pm | Citizen TV 185 views Duration: 1:52 Wadau katika sekta ya afya sasa wanaitaka serikali kuwekeza zaidi katika huduma za kuzuia magonjwa na maambukizi wakisema kuna umuhimu wa kuzuia magonjwa badala ya kuyatibu kwani gharama ni kubwa.