Skip to main content
Skip to main content

Wadau waitaka voliboli kupewa kipaumbele nchini

  • | Citizen TV
    284 views
    Duration: 2:35
    Mchezo wa voliboli ni moja kati ya michezo yenye ufuasi mkubwa nchini licha ya kutopewa kipaumbele. Washikadau wa mchezo huo wakitoa wito wa kupewa uzito sawia na michezo mingine. Mwanaspoti wetu Luqman Mahmoud alitembelea chuo cha mchezo huo cha Royal Star mtaani Juja na kuandaa taarifa ifuatayo.