Skip to main content
Skip to main content

Wafanyabiashara Gikomba wapinga kuhamishwa mita 50 kutoka Mto Nairobi

  • | Citizen TV
    2,852 views
    Duration: 1:13
    Wafanyabiashara katika soko la Gikomba wamepinga vikali mpango wa kuwahamisha mita hamsini kutoka Mto Nairobi, mbapo ni kinyume na mita 30 ambazo zilikadirwa hapo awali. Wanaonya kuwa hatua hiyo itawaathiri wafanyabiashara wengi kimapato na kumrai Rais William Ruto kuzingatia pendekezo la awali la kuwahamisha mita 30 kutoka kwenye mto huo.