Skip to main content
Skip to main content

Wafanyabiashara Tana River wapinga mswada wa fedha wa mwaka huu wa kaunti hiyo

  • | KBC Video
    77 views
    Duration: 3:53
    Wafanyabiashara katika mji wa Hola, kaunti ya Tana River wamepinga mswada wa fedha wa mwaka huu wa kaunti hiyo, wakisema mapendekezo yake yataharibu biashara ndogo ndogo ambazo tayari zinakabiliana na changamoto kubwa za kiuchumi. Kwa upande mwingine, mamia ya wanawake wajawazito kutoka Embu na kaunti jirani wamenufaika na kambi ya matibabu ya bila malipo iliyoratibiwa na hospitali ya Neema Universal Healthcare kusaidia kupunguza vifo vya kina mama wakati wa kujifungua. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive