Skip to main content
Skip to main content

Wafanyabiashara wa Jumba la Nanak Nairobi walalamika kudhulumiwa na mmiliki nyumba

  • | Citizen TV
    1,305 views
    Duration: 1:53
    Wafanyabiashara katika jumba la Nanak katikati ya jiji la Nairobi wamelalamikia kile wanadai ni kuhangaishwa na kudhulumiwa na mmiliki wanayedai anataka kuwafurusha baada ya kuongeza kodi ya nyumba kutoka mwezi septemba mwaka jana.