- 468 viewsWafanyabiashara wanakabiliwa na hasara ya mamilioni ya fedha kutokana na ghasia za maandamano yanayo shuhudiwa nchini Kenya. Hii imetokana na msimamo mkali wa kisiasa wa ambao umepelekea upinzani kuzidisha maandamano kuendelea hadi siku mbili kwa wiki. Ungana na mwandishi wetu akikuletea hali ilivyo nchini Kenya na kiasi cha hasara kinacho wakabili wafanyabiashara. Endelea kusikiliza... #wafanyabiashara #hasara #ghasia #maandamano #kenya #siasa #upinzani #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wafanyabiashara wakabiliwa na hasara ya mamilioni kutokana na maandamano Kenya
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 13 May 2025 - The Trump administration welcomed on Monday 59 white South Africans it granted refugee status in the U.S., having deemed them victims of racial discrimination, while drawing criticism from Democrats and stirring confusion in South Africa.
- 13 May 2025 - Peering through a microscope, food scientist Raquel Gomez studies microorganisms that add nutrients and preserve tortillas for several weeks without refrigerators -- a luxury in impoverished Mexican communities.
- 13 May 2025 - The party's Secretary General Hassan Omar issued the stinging statement just hours after Gachagua formally severed ties with UDA, nearly six months after his dramatic impeachment as deputy president on October 18, 2024.
- - Kenya Power announces day-long power disruption in several regions across the country
- 13 May 2025 - The latest incident adds to the number of school fires witnessed this year.
- 13 May 2025 - In a new report, the UN Human Rights Councils Universal Periodic Review paints a grim picture of a country where critics disappear into the night and protesters are gunned down.
- 13 May 2025 - Prosecutors say Diddy hosted 'Freak Off' sex parties, filmed encounters for blackmail.
- 13 May 2025 - The former DP is currently embroiled in a heated dispute with the party that led to his ascension to power.
- 13 May 2025 - Zelenskiy is ready to meet Putin in Istanbul, but Moscow remains unresponsive as fighting rages on the front lines.
- 13 May 2025 - Kenya National Union of Teachers (Knut) officials in the North Rift have protested plans by the government to scrap hardship allowances in some areas. Led by Knut North Rift region woman representative Dorcas Jecinta, the officials said civil servants…