Wafanyabiashara wakabiliwa na hasara ya mamilioni kutokana na maandamano Kenya

  • | VOA Swahili
    468 views
    Wafanyabiashara wanakabiliwa na hasara ya mamilioni ya fedha kutokana na ghasia za maandamano yanayo shuhudiwa nchini Kenya. Hii imetokana na msimamo mkali wa kisiasa wa ambao umepelekea upinzani kuzidisha maandamano kuendelea hadi siku mbili kwa wiki. Ungana na mwandishi wetu akikuletea hali ilivyo nchini Kenya na kiasi cha hasara kinacho wakabili wafanyabiashara. Endelea kusikiliza... #wafanyabiashara #hasara #ghasia #maandamano #kenya #siasa #upinzani #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.