- 468 viewsWafanyabiashara wanakabiliwa na hasara ya mamilioni ya fedha kutokana na ghasia za maandamano yanayo shuhudiwa nchini Kenya. Hii imetokana na msimamo mkali wa kisiasa wa ambao umepelekea upinzani kuzidisha maandamano kuendelea hadi siku mbili kwa wiki. Ungana na mwandishi wetu akikuletea hali ilivyo nchini Kenya na kiasi cha hasara kinacho wakabili wafanyabiashara. Endelea kusikiliza... #wafanyabiashara #hasara #ghasia #maandamano #kenya #siasa #upinzani #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wafanyabiashara wakabiliwa na hasara ya mamilioni kutokana na maandamano Kenya
- » 'I expect world-class legislation': Ruto sets high expectations for MPs as he officially opens Bunge Towers25 Apr 2024 - President William Ruto has declared that he expects a "world-class" performance from Kenyan Members of Parliament (MPs) after opening the Ksh.9.8 billion Bunge Tower.
- » 'I expect world-class legislation': Ruto sets high expectations for MPs as he officially opens Bunge Tower25 Apr 2024 - President William Ruto has declared that he expects a "world-class" performance from Kenyan Members of Parliament (MPs) after opening the Ksh.9.8 billion Bunge Tower.
- 25 Apr 2024 - Sergeant Rose Nyawira, a military officer among the personnel who died in the Kenya Defence Forces (KDF) helicopter crash on April 18, 2024, was buried on Thursday in Kirinyaga County.
- 25 Apr 2024 - The death toll from the Mathare river floods in Nairobi County has risen to 11 after the body of a female teenager was recovered on Thursday morning.
- 25 Apr 2024 - The United Kingdom has announced £6.6 million (Ksh.1.1 billion) funding towards 50 green investment projects in Kenya.
- 25 Apr 2024 - He pushed the House Speaker, Moses Wetangula to implement the budget cuts while creating the next budget.
- 25 Apr 2024 - Ruto directed the National Youth Service to provide land for people living in flood-affected areas.
- 25 Apr 2024 - There was lack of clear mandate on who should run operations at the new terminal.
- » 'I don't succumb to pressure,' Sakaja says as he denies calls to step down from UDA Nairobi elections25 Apr 2024 - Nairobi County Governor Johnson Sakaja has scoffed at claims that he was asked to drop his bid for the Nairobi United Democratic Alliance (UDA) chairmanship.
- 25 Apr 2024 - "This was my first race in three years and I was impressed by my performance."