Skip to main content
Skip to main content

Wafanyabiashara wamepoteza mali ya mamilioni ya pesa kutokana na athari ya mafuriko

  • | Citizen TV
    848 views
    Duration: 2:25
    Shughuli za kawaida zilianza kurejea kawaida siku ya Jumapili katika maeneo mengi ya Nairobi, ambako maafa ya mafuriko ya ijumaa usiku yalishuhudiwa. Picha za angani zikionyesha kiwango cha uharibifu huku maji yakiwa bado yamejaa katika baadhi ya maeneo ya mijini.