Ubelgiji imekuwa nchi ya kwanza duniani kupitisha sheria ya kutoa haki za kazi kwa wafanyabiashara ya ngono.
Watakuwa na haki ya bima ya afya, mafao, mapumziko ya ugonjwa na likizo ya uzazi.
Hizi ni jitihada ambazo hazijawahi kushuhudiwa katika sekta hiyo na hakuna mahali pengine popote duniani ambapo kazi ya ngono inapewa ulinzi sawa.
Je, sheria hii mpya nchini Ubelgiji ni hatua sahihi?
#bbcswahili #ubelgiji #biasharayangono
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
21 Jul 2025
- Former Law Society of Kenya (LSK) President Eric Theuri has criticized the government’s decision to charge arrested protesters with terrorism-related offenses, calling the move "ridiculous" and lacking any legal foundation.
21 Jul 2025
- A gang of over 10 people raided a coffee factory in Mwea East, Kirinyaga County tied and injured two night watchmen before escaping with 26 bags of the farm product valued at 1.8 million.
21 Jul 2025
- The arrest triggered widespread public attention, with authorities claiming to have recovered items that raised national security concerns.