Skip to main content
Skip to main content

Wafanyakazi wa Posta wasema hawajalipwa mishahara ya miezi saba

  • | Citizen TV
    393 views
    Duration: 1:48
    Wafanyakazi wa shirika la Posta kaunti ya Taita Taveta wameungna na wenzao nchini na kushiriki mgomo wakitaka shirika la Posta kuwalipa malimbikizi ya mishahara yao ya takriban miezi saba sasa.