Wafanyibiashara wa Ang'orom wadai kuvuna pakubwa kutokana na chuo Kikuu cha Alupe

  • | West TV
    170 views
    Mwaka mmoja baada ya chuo kikuu cha alupe kutawazwa kuwa chuo cha kujitegemea kutoka chuo kikuu cha moi, wafanyabiashara katika soko la ang’orom eneo bunge la teso kusini wameelezea kuimarika kwa biashara sokoni humo hasa mauzo ya mboga za kienyeji. Sasa wafanyabiashara hao wanaitaka serikali ya kaunti ya busia kuzingatia kulipanua soko hilo