Skip to main content
Skip to main content

Wafuasi wa gavana wa Trans Nzoia George Natembeya waandamana Bungoma

  • | Citizen TV
    3,090 views
    Duration: 1:35
    Baada ya jaji wa Mahakama Kuu Andrew Mwamuye kumwondolea mashtaka ya ufisadi gavana wa Trans‑Nzoia, George Natembeya, wafuasi wake mjini Bungoma walijitokeza kusherehekea uamuzi huo na kuutaja kama ushindi kwa umma wa walio wengi.