Skip to main content
Skip to main content

Wafugaji Marsabit walalamikia wizi wa Mifugo

  • | Citizen TV
    211 views
    Naibu Rais Profesa Kithure Kindiki amewaahidi wafugaji kuwa serikali inaweka mikakati ya kudhibiti wizi wa mifugo. Akizungumza kwenye sherehe za kitamaduni za Loiyangalani kaunti ya Marsabit, kindiki amewataka maafisa wa usalama kukaza kamba ili kuangamiza ujambazi huku akiahidi kubuniwa kwa maeneo zaidi ya utawala ili kuimarisha doria ya polisi.