Wafugaji watahadharishwa kuhusu athari ya ukame

  • | Citizen TV
    48 views

    Wakazi wa kaunti ya Garissa wametakiwa kutumia habari zinazotolewa na idara ya utabiri ya hali ya hewa ipasavyo ili kuhepuka hasara ya kupoteza mifugo na mimea yao shambani.