Skip to main content
Skip to main content

Wagonjwa wenye matatizo ya midomo wafanyiwa upasuaji Mandera

  • | Citizen TV
    521 views
    Duration: 1:06
    Familia zilizo katika mazingira magumu katika kaunti ya Mandera zimepata afueni baada ya wagonjwa wanaosumbuliwa na matatizo ya ufa kwenye mdomo kufanyiwa upasuaji wa bure kupitia kambi maalum ya matibabu.