Skip to main content
Skip to main content

Wahadhiri na wafanyikazi wa JKUAT wajihusisha na michezo ya ziada

  • | Citizen TV
    667 views
    Duration: 3:06
    Wafanyakazi na wahadhiri wa chuo kikuu cha Jomo Kenyatta walitumia siku yao kucheza na kujifurahisha katika uwanja wa mahafali huku mgomo wa wahadhiri ukiingia mwezi wa pili. Aidha wahadhiri wanaishinikiza serikali kuwalipa shilingi bilioni 7.9 kulingana na mkataba wao wa maelewano kabla ya kurejea darasani.