Skip to main content
Skip to main content

Wahadhiri wa vyuo vikuu wakataa kurejea kazini

  • | Citizen TV
    3,935 views
    Duration: 1:24
    Mkutano kati ya wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma na maafisa wa serikali umekosa kupata muafaka baada ya chama cha wafanyikazi (KUSU) na muungano wa wahadhiri (UASU) kusisitiza wahadhiri walipwe jumla ya shilingi bilioni 7.9 kabla ya mazungumzo ya kurejea kazini kufanyika.