Skip to main content
Skip to main content

Wahadhiri wa vyuo vikuu wakosolewa kwa kuendelea na mgomo

  • | Citizen TV
    364 views
    Duration: 1:34
    Wawakilishi wa wafanyakazi katika sekta ya elimu barani Africa wamekashifu vikali mgomo unaoendelea wa waadhiri. Wakizungumza jijini Nairobi Ijumaa hii walielezea mahangaiko ya wanafuzi wakionya Kenya dhidi ya kujiunga na orodha ya nchi zingine barani Afrika ambazo Zinakiuka sheria za kimataifa za leba.