Skip to main content
Skip to main content

Wahadhiri waendeleza mgomo katika vyuo vikuu vya umma

  • | Citizen TV
    588 views
    Duration: 7:53
    Wanachama wa muungano wa UASU ambao unajumuisha wahadhiri na hata wafanyikazi katika vyuo vikuu vya umma wanaendelea na mgomo wao. Wahadhiri hao ambao wamebeba mabango ya kukashifu serikali kwa kuwapuuza, wamesema hawatarejea kazini hadi serikali itimize mkataba wao wa malipo. hebu tuskize tetesi zao kwa sasa katika uwanja wa chuo kikuu cha Nairobi