- 160 views
Kaunti ya Kajiado ikishirikiana na serikali kuu imetenga shilingi milioni 22 katika wizara ya afya ili kusaidia wafanyakazi wanaojitolea kwenye matibabu ya jamii mashinani. Washikadau wa sekta hiyo wamesema kuwa kuna umuhimu wa kuwatia moyo wahudumu wa afya wanaojitolea kufanya kazi katika mazingira magumu ya nyanjani. Naibu gavana wa Kajiado Martine Mosisho amezindua mpango wa kuwapa marupurupu wahudumu hao pamoja na vifaa vya kuwarahisishia kazi wanapohudumia wagonjwa. Mradi huu wa kushughulikia wahudumu wa afya umezinduliwa katika kaunti za Kwale, Migori na Kajiado
Wahudumu wa afya wa jamii wa Kajiado wapewa marupurupu
- 3 Jul 2025 - Coffee farmers from 76 factories in Kirinyaga County held protests in Kerugoya town after the High Court extended a conservatory order halting the implementation of new coffee exchange fees.
- 3 Jul 2025 - Thousands of youths on Thursday stormed and torched the Mawego Police post in Rachuonyo East, Homa Bay County, while carrying the coffin of the late blogger Albert Ojwang' who is set to be buried tomorrow.
- 3 Jul 2025 - Gem MP Elisha Odhiambo has announced plans to take legal action against former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i over alleged extrajudicial killings during the Jubilee administration.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday witnessed the signing of Memorandum of Understandings (MoUs) with learning institutions in the United Kingdom.
- 3 Jul 2025 - The principals did not have the required details.
- 3 Jul 2025 - The closure will last for hours.
- 3 Jul 2025 - The substantial prize money underscores commitment to supporting athletes.
- 3 Jul 2025 - Mourners carrying Mr Ojwang’s body veered off the planned route of the funeral procession and stormed the police station.
- 3 Jul 2025 - On July 7, 2025, Kenya will commemorate Saba Saba Day, a significant date in the nation's history.
- 3 Jul 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged Kenyan leaders to uphold respectful and dignified politics, while condemning the opposition for allegedly promoting arrogance, insults, contempt, greed, and tribalism. Speaking in Taveta during a women…