Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya watangaza maandamano kupinga ucheleweshaji wa mishahara

  • | Citizen TV
    645 views
    Duration: 1:10
    Huduma za afya nchini huenda zikatatizika pakubwa huku wahudumu wa afya wakianza maandamano ya kutetea haki zao. Vyama vya wafanyakazi katika sekta hiyo vimetangaza maandamano hayo huku wakilalamikia kucheleweshwa kwa mishahara ya maelfu ya wafanyakazi wa mpango wa afya ya umma kwa wote na seikali za kaunti.