Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa watalii waandamana jijini Nairobi wakipinga ada mpya za kuingia mbugani

  • | Citizen TV
    298 views
    Wadau wa sekta ya Utalii wameandamana mapema leo hapa jijini Nairobi kupinga ongezeko la ada za kuegesha magari na kuingia katika mbuga na hifadhi za wanyamapori nchini.