Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wa kianjogu, Nyeri waandamana kulalamikia mauaji ya mtoto wao

  • | Citizen TV
    471 views
    Duration: 1:44
    Maafisa wa polisi huko nyeri wamelazimika kutumia gesi ya Kutoa machozi kuwatawanya wakaazi wa Kijiji Cha kianjogu huko Mathira, walioandamana mapema leo wakikashifu mauaji ya mtoto Shantel Waruguru, aliyepotea na kukosekana tangu jumamosi iliyopita