- 87 viewsIdadi kubwa ya droni zisizotambuliwa zimeripotiwa kuruka katika maeneo ya New Jersey na East Coast katika wiki za karibuni, ikizua wasiwasi na dhana juu ya nani na kwa nini zinatumwa huko. Darzeni ya walioshuhudia wameripoti kuziona droni hizo huko New Jersey tangu mwezi Novemba. Hapo awali, droni hizo zilionekana zikiruka katika upeo wa Mto Raritan, mkondo wa maji unaoelekea katika hifadhi ya maji ya Round Valley, ni mwamba unaohifadhi maji ya jimbo hilo, umbali wa kiasi cha kilometa 80 magharibi mwa Jiji la New York. Lakini mara droni hizo ziliripotiwa kuonekana katika jimbo lote, ikiwemo karibu na Picatinny Arsenal, kituo cha jeshi la Marekani cha utafiti na utengenezaji, na juu ya eneo la uwanja wa golf wa Rais-mteule Donald Trump huko Bedminster. Ndege hizo pia hivi karibuni zilionekana katika maeneo ya pwani. Idara ya Upelelezi (FBI) ni kati ya mashirika kadhaa yanayofanya uchunguzi na wamewataka wakazi kutuma video, picha na taarifa nyingine walizonazo kuhusu droni hizo. - AP #newjersey #drones #us #voa
Wakaazi wa New Jersey washuhudia droni zisizojulikana
- 17 Jun 2025 - Siaya Resident Magistrate’s Court has ordered blogger Michael Oduor, also known as Mike Ochieng, to pay Ksh.3 million in general damages for defamation.
- 17 Jun 2025 - The government has swiftly responded to a devastating fire that broke out at Stage Woria in Kawangware, Nairobi, claiming one life and rendering 14 families homeless.
- 17 Jun 2025 - Anti-riot police officers on Tuesday opened fire at a hawker selling face masks at close range along Moi Avenue in Nairobi CBD during the demonstrations calling for the resignation of Deputy Inspector General Eliud Lagat.
- 17 Jun 2025 - Rescue efforts are underway.
- 17 Jun 2025 - Seven police officers suspected of shooting and killing Daniel Mwangi in London Estate, Nakuru, on June 9, have been detained for seven more days, pending investigations by Independent Policing Oversight Authority (IPOA).
- 17 Jun 2025 - The Bill had also called for a review of statutory deductions, such as the NHIF, NSSF, and housing levy, to a progressive structure
- 17 Jun 2025 - Sundowns striker Shalulile targets goals and glory at FIFA Club World Cup
- 17 Jun 2025 - Court rules that Mr Wilfred Nyagudi suffered reputational harm as a result of the posts which first appeared on Facebook.
- 17 Jun 2025 - Reports link Eritrea to weapons supply route for Sudan army
- 17 Jun 2025 - Williams ready to make history with Sundowns at FIFA Club World Cup