Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi walalamikia kuongezeka kwa popo eneo la Kimilili

  • | Citizen TV
    1,794 views
    Duration: 1:41
    Wakazi wanaoishi karibu na hospitali ya kaunti ndogo ya Kimilili na karibu na mahakama ya Kimilili wamelalamikia kuwepo kwa popo wengi maeneo hayo, wakisema kero hiyo si tu tishio kwa mazingira bali ni tishio kwa afya yao wakiitaka idara husika kutumia mbinu zozote kuwaondoa popo hao.