Skip to main content
Skip to main content

Wakandarasi Taita Taveta Wataka Kulipwa Madeni ya Kuanzia 2013

  • | Citizen TV
    21 views
    Baadhi ya wanakandarasi kaunti ya Taita Taveta wamejitokeza na kuitaka serikali ya kaunti hiyo kuwalipa malimbiziki ya fedha zao wanazodai kutoka mwaka 2013. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Ben Kibengo wanasema sharti wanakandarasi kutoka kaunti hiyo wawe wa kwanza kulipwa fedha wanazodai serikali baada ya kutekeleza miradi mbalimbali mashinani.