Skip to main content
Skip to main content

Wakandarasi watakiwa kukamilisha miradi kwa wakati uliopangwa

  • | Citizen TV
    157 views
    Duration: 1:22
    Serikali imewataka wakandarasi wote waliopewa zabuni za miradi ya ujenzi wa barabara kote nchini kuhakikisha wanatimiza masharti ya kandarasi zao ndani ya muda uliopangwa, la sivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.