Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Garissa waliodhulumiwa na maafisa wa usalama wataka fidia

  • | Citizen TV
    402 views
    Duration: 2:10
    Wakazi wa kaunti ya Garissa wanataka wenyeji walioathirika na dhuluma za jadi pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu kutoka maafisa wa usalama kufidiwa na serikali.