Skip to main content
Skip to main content

Wakazi karibu na ziwa Victoria watakiwa kutunza mazingira

  • | Citizen TV
    182 views
    Duration: 3:07
    Wakazi wanaopakana na ziwa Viktoria sasa wametakiwa kuzingatia usafi wa mazingira ili kuhifadhi ubora wa ziwa hilo. Akizingumza wakati wa ufunguzi rasmi wa makao makuu ya LVBC huko Kisumu, waziri Beatrice Askul alitaja umuhimu wa ziwa hilo katika uchumi wa taifa kutokana na uvuvi pamoja na utalii. Na Kama anavyoarifu Laura Otieno haya yanajiri wakati ambapo idadi ya samaki imeripotiwa kupungua maradufu ziwani humo.