- 359 views
Mzozo wa ardhi umeibuka baina ya serikali ya kaunti ya Mombasa, umma na mwekezaji mmoja kuhusu kipande Cha ardhi, kinachodaiwa kunyakuliwa huko bamburi . Baadhi ya wakazi pamoja na viongozi wa eneo hilo wanadai ardhi hiyo ni mali ya umma, na kuwa tayari serikali ya kaunti inapania kujenga choo cha umma katika sehemu hiyo. Wakaazi wamedai kuwa mwekezaji wa kibinafsi amejenga katika eneo la mkondo wa maji na kusababisha mafuriko. hata hivyo, mwekezaji huyo amekana na kudai kuwa kaunti ya Mombasa ndio iliwauzia ardhi hiyo.
Wakazi wa Bamburi wasema ardhi ya umma imenyakuliwa
- 2 Jun 2024 - Uganda has rolled out a nationwide yellow fever vaccination campaign to help safeguard its population against the mosquito-borne disease that has long posed a threat.
- 2 Jun 2024 - They were protesting over the Finance Bill 2024.
- 2 Jun 2024 - They were protesting over the Finance Bill 2024.
- 2 Jun 2024 - Israeli forces hammered Rafah in southern Gaza with tanks and artillery Saturday, hours after US President Joe Biden said Israel was offering a new roadmap towards a full ceasefire.
- 2 Jun 2024 - Polls closed in India's marathon six-week general election on Saturday, an AFP journalist saw, with Prime Minister Narendra Modi widely expected to win a third term when results are announced next week.
- 2 Jun 2024 - SCHOOLS: Kisumu Day to renew rivalry with Kisumu Boys in sub county finals
- 2 Jun 2024 - Knut demands 114,000 teachers to be promoted
- 2 Jun 2024 - Calls to lower cost of living dominate as Kenyans shun fete in counties
- 2 Jun 2024 - Kamabeka dance lights up event as Gachagua becomes 'man of few words'
- 2 Jun 2024 - Questions over death of child in police cells over Sh465 debt row